Server maintenance in progress. Please bear with us

Itikadi katika Riwaya za Dunia Yao (2006) na Mhanga Nafsi Yangu

dc.contributor.authorMurithi, Joseph Jesse
dc.contributor.authorWafula, Richard Makhanu
dc.contributor.authorKing’ei, Geofrey Kitula
dc.date.accessioned2019-05-15T05:54:54Z
dc.date.available2019-05-15T05:54:54Z
dc.date.issued2019-04
dc.description.abstractMakala hii inanuia kuonesha kuwa itikadi ni dhana badilifu na nyumbufu kulingana na maendeleo ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na kiteknolojia. Itikadi ndiyo huelekeza misimamo, mielekeo na imani ya mtunzi na hivyo kuathiri mtazamo wa mwandishi kuhusu ulimwengu unaomzunguka, ambao huweza kubadilika kulingana na wakati na mahitaji ya kijamii. Katika mkabala huo makala hii inalenga kutathmini itikadi ya mtunzi katika riwaya za Dunia Yao (2006) na Mhanga Nafsi Yangu (2013) za S. A. Mohamed. Kwa kutumia riwaya hizo, makala hii inatarajia kuthibitisha kwamba, itikadi ni dhana badilifu na nyumbufu na hutangamana na jinsi mtunzi anavyobadilisha mikakati yake ili kukidhi mahitaji ya jamii lengwa kiwakati.en_US
dc.identifier.urihttp://ir.mksu.ac.ke/handle/123456780/4436
dc.language.isoen_USen_US
dc.publishermachakos Universityen_US
dc.titleItikadi katika Riwaya za Dunia Yao (2006) na Mhanga Nafsi Yanguen_US
dc.typeArticleen_US

Files

Original bundle

Now showing 1 - 1 of 1
Loading...
Thumbnail Image
Name:
MURIITHI JESSE.pdf
Size:
119.51 KB
Format:
Adobe Portable Document Format
Description:
Full Text

License bundle

Now showing 1 - 1 of 1
Loading...
Thumbnail Image
Name:
license.txt
Size:
1.71 KB
Format:
Item-specific license agreed upon to submission
Description: