Show simple item record

dc.contributor.authorGituru, Magdalene Wangu
dc.contributor.authorKobia, John M.
dc.date.accessioned2019-10-28T08:40:05Z
dc.date.available2019-10-28T08:40:05Z
dc.date.issued2019-04
dc.identifier.urihttp://ir.mksu.ac.ke/handle/123456780/4931
dc.description.abstractUnyambulishaji wa vitenzi ni mojawapo ya masuala yanayoshughulikiwa katika taaluma ya mofolojia katika lugha nyingi za Kiafrika. Makala hii inashughulikia unyambulishaji wa vitenzi katika Kigĩchũgũ, mojawapo ya lugha za kiafrika, kwa kufafanua mifanyiko inayohusika katika utaratibu wa unyambulishaji wa vitenzi katika Kigĩchũgũ na kutathmini kanuni zinazoruhusu au kuzuia mifanyiko hiyo ya unyambulishaji. Katika uainishaji wa Guthrie (1967), Kigĩchũgũ ni mojawapo ya lugha za Kiafrika ambayo hudhihirisha unyambulishaji. Nadharia ya Mofolojia Leksia (Kiparsky 1982 na Katamba 1993) na Kanuni ya Kioo (Baker 1985) zimetumiwa kueleza mfuatano wa mofimu nyambulishi katika vitenzi vya Kigĩchũgũ. Data ya vitenzi sitini (60) vya Kigĩchũgũ ilitumika katika makala hii. Vitenzi hivi viliwekwa katika kauli sita za unyambulishaji na kuainisha mifanyiko inayohusika katika utaratibu wa unyambulishaji kwa kutumia jedwali la mnyambuliko wa vitenzi. Makala hii inachangia katika kuongeza maarifa ya kiutafiti kuhusu sarufi ya Kigĩchũgũ na kuhifadhi lugha ya Kigĩchũgũ kama mojawapo ya lugha za Kiafrika katika maandishi.en_US
dc.language.isoen_USen_US
dc.publisherMachakos University Pressen_US
dc.subjectUnyambulishajien_US
dc.subjectMifanyikoen_US
dc.subjectVitenzien_US
dc.subjectKigĩchũgũen_US
dc.titleMifanyiko Ya Unyambulishaji Wa Vitenzi Katika Kigĩchũgũen_US
dc.typeArticleen_US


Files in this item

Thumbnail

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record